![]() |
| Chikoma Jafari akisalimiana na mkurugenzi wa New generation sports cub baada ya kukamilisha usajili wake 2016-2017 |
![]() |
| PrayGod Nderingo akisaini mkataba wake kuitumikia New Generaton 2016-2017 |
![]() |
| Kiungo wa zamani wa Yanga Afrika na Mbea City Idrissa Rashid akisaini mkata wake kuitumikia New Generation Sports Club |
![]() |
| Beki kisik wa zamani wa Mwadui fc Yusuph Manya akikamilisha uhamisho wake wakuichezea New Generation Sports Club |
![]() |
| Winga wa zamani wa Panone fc Charles Steven akimwaga wino kuicheze New Generation Sports Club huku akipeana mikono na Team Manager Laurent Kinabo na Mkurugenzi Salim .A. Zowange |
![]() |
| Kiraka Wilbad Pacho akisaini mkataba wake kuitumikia timu yake mpya ya New Generation Sports Club |
![]() |
| Beki wa kulia Peter Manjole akikamilisha usajili wake kuitumika New Generation Sports Club akitokea katika klabu ya maafande wa Polisi Mara |
![]() |
| Chikma Jafar akisaini mkataba wake wakuitumikia New Generation Sports Club |











0 comments:
Post a Comment